Ripoti ya shirika la habari la Ahlul Bayt(as)-ABNA- Televisheni ya BBC muda ulopita iliripoti kuwa shirika la habari la Rusia limeeleza kwamba Wabunge wa Korea kaskazini waliomba Rusia kufikiria kuondowa wafanyakazi wake katika ubalozi wa Pyongyang.
Televisheni hii haikueleza kiundani zaidi kunako habari hii.